Unataka kuagiza bidhaa kutoka China, Dubai, Uturuki, USA au UK lakini hujui pa kuanzia?
Hii ndio program itakayokutoa kwenye confusion na kukupeleka kwenye mfumo halisi wa importation wenye faida.
Ndani ya Masterclass hii utajifunza:
✔ Jinsi ya kupata bidhaa moja kwa moja kutoka kwa manufacturers na wholesalers
✔ Kutumia platforms kama Alibaba, 1688, Amazon, eBay na nyingine kwa usahihi
✔ Kufanya Profit Test kabla ya kuagiza ili kuepuka hasara
✔ Kulipa kwa usalama (Card, PayPal, Alipay, WeChat)
✔ Kutumia freight forwarder na kuchagua Air au Sea cargo
✔ Kupunguza risk ya kutapeliwa
✔ Kukokotoa gharama zote hadi mzigo ufike Tanzania
Hii siyo course ya nadharia — ni blueprint ya vitendo ya kuwa Global Importer mwenye mfumo, confidence na margin kubwa ya faida.
Ukichukua hatua sasa, unaanza kujenga biashara inayotegemea source za kimataifa, sio soko la ndani tu.
📞 Ramadhani Abubakary Iddi0748 299 372
Karibu RAIB IMPORTATION ACADEMY 🚀🔥